PAPAI ZA KISASA TANZANIA

Papai Malkia f1 hybrid ni papai ya mda mfupi miezi sita kwa sehemu zenye joto na miezi nane kwenye sehemu yenye baridi. Mti moja huzaa matunda 40-70 kwa msimu.
Kwa wakulima wa kanda ya kaskazini tunasambaza miche,
Watu waliopo kanda zingine tunasambaza mbegu.

Mche Tsh 5000 inakuwa na cementer 20/30
Mbegu Tsh 30,000 inakuwa na mbegu 60/70

 contact:
0752972727
formal.agro@gmail.com





Comments

Popular posts from this blog

MAANA YA DIVAI

NAMNA YAKUTENGENEZA SABUNI AINA ZOTE

UFUGAJI WA KUKU KWA UTAALAMU