Posts

Showing posts from July, 2016

UFUGAJI WA KUKU KWA UTAALAMU

Image
Mfugaji ili uwape kuku wako lishe bora yenye kuendelea, na ili upate matokeo bora zaidi katika ufugaji wako wa kuku basi yakupasa kuzingatia yafuatayo:- Tumia chakula bora na siyo bora chakula. Tumia chakula bora ambacho hakina madhara kwa kuku wako na hata walaji kwa ujumla. Weka chakula mahali safi na salama kuepuka wadudu waharibifu kama vile panya ili kuzuia maambukizi ya magonjwa kwa kuku. Tumia kanuni ya " least cost combination " yaan tumia chakula cha bei nafuu kinachotoa matokeo bora zaidi ili kupunguza gharama za ufugaji hali ambayo itakufanya upate faida mara dufu. Kwa kufanya hivyo utaweza kuwalisha kuku wako chakula kilicho bora kwa matokeo bora zaidi bila kuyumba kiuchumi wakati wote wa ufugaji wako. KUTUNZA KUMBUKUMBU KATIKA UFUGAJI Kuna usemi usemao " mali bila daftari hupotea bila habari " ukiwa na mradi wowote wa ufugaji ni vema ukiwa unaweka kumbukumbu za kila siku au kwa kila wiki. Katika kutunza kumbukumbu za ufugaji kun

JINSI YAKUTENGENEZA MANGO PICKLES

Image
                                                               UTENGENEZAJI WA MANGO PICKLES Mango  Pickles  MANGO  PICKLES     au    "  ACHARI  YA  EMBE   "  ni  chachandu  inayo  tumika  kunogesha  utamu  wa  chakula.   Malighafi  kuu  katika  utengenezaji  wa  "   MANGO  PICKLES "   ni  embe.                                   MATAYARISHO * Embe  zisafishwe  vizuri  kwa  kuosha  vizuri  kwa  kutumia  maji  masafi. ( Embe  zioshwe kabla  hazijamenywa ) * Embe  likatwe  katwe  vipande  bila  kuligusa  kokwa,  vipande  hivyo  viwekwe  kwenye  kichanja  baada  ya  kukatwa  katwa  na  vianikwe   juani  kwa  muda  wa  nusu  saa. *  Hifadhi  embe  zako  hizo  kwenye  chombo  kisafi, kwa  muda  wa  siku  tano.                      KUTENGENEZA  MANGO  PICKLES * Tayarisha  nyanya  robo  kilo, menya  maganda  na  katakata  vipande  vidogo. * Katakata  vitunguu    viwili   vikubwa. * Chumvi   vijiko  viwili  vya  chai. * Vinegar 

NAMNA YAKUTENGENEZA SABUNI AINA ZOTE

Image
SOMO LA KWANZA : UTENGENEZAJI WA SABUNI ZA AINA ZOTE.  MASOMO  YATAKAYO  FUNDISHWA  HAPA  NI : 1 1. Utengenezaji  Wa Sabuni  isiyo na garama. 22. Utengenezaji  Wa Sabuni ya urembo. 33. Utengenezaji  Wa  Sabuni ya asali na cream. 4 4.  Utengenezaji   Wa  Sabuni ya manukato. 5 5.  Utengenezaji   Wa  Sabuni ngumu. 66.  Utengenezaji   Wa  Sabuni ya unga 77. Utengenezaji   Wa Sabuni ya kugandisha. 8 8. Utengenezaji    Wa  Sabuni za dawa. 99. Utengenezaji  Wa  Sabuni za rangi. 110.  Utengenezaji  Wa Cream ya kunyolea. 111. Utengenezaji  Wa  Sabuni iliyotengenezwa na mafuta mengine.  VIFAA     VYA     UTENGENEZAJI   SABUNI. *Sufuria. *Bakuli kubwa la mfinyanzi au plastiki. *Mafuta *Maji. *Sodium hydroxide{NaOH} *Ubao mdogo/mwiko.  *Chombo chenye ukubwa cha plastiki. *Kifyatulio. *Kisu. *Vikombe 2 vya plasitiki. * Makopo  2  ya plasiki au kaure. Vipimo vinavyo tajwa hapa ni chombo chochote cha plastic ( kama