Posts

UFUGAJI WA SAMAKI KWA NJIA YA KISASA

Click hapo, https://youtu.be/_OD9yF1MzYs Ufugaji huu ni ufugaji wa samaki kwa njia ya matenki

PARACHICHI ZA KISASA

Image
  Parachichi za mdamfupi aina ya Hass ni aina ya parachichi ambayo tayari imefanyiwa utaratibu wakuwezesha kuzaa kwa mda mfupi. Hass ni parachichi yenye mafuta mengi kuliko parachichi zote duniani na tamu sanaaa. kwa kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nami: contact: phone:+255752972727 Email: mosesanney@gmail.com

Faida za pilipili kiafya

Image
Japokuwa Pili pili inaliwa na watu wa jamii mbali mbali, Faida na Afya ya kula pilipili wengi hawazijui au hazijulikani na watu wengi. Kwenye pilipili kuna kemikali iitwayo Capsaicin, ambayo ndio inayo sababisha muwasho na joto la pilipili. Pilipili inasaidia sana kusawazisha sukari kwenye damu Ulaji wa pilipili kunaweza kunawasaidia sana watu wanene (overweight) au wanao ugua ugonjwa wa kisukari. Hii ni kwa mujibu wa timu ya watafiti katika Chuo Kikuu cha Tasmania, utafiti iliyochapishwa katika American Journal of Clinical Nutrition, mwezi Julai 2006. Utafiti huo pia umeonyesha kwamba kawaida ya kula Pilipili kunaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kudhibiti na kusawazisha insulini kwa 60%. baada ya kula chakula. Pilipili husaidia kupunguza maumizi na uvimbe kwenye tezi na vilevile huwasaidia wagonjwa wa rheumatoid na arthritis kupata nafuu. Vile vile husaidia kuondoa mkusanyiko wa damu sehemu moja ya mwili Pilipili usaidia kufungua kwa haraka na kwa

PAPAI ZA KISASA TANZANIA

Image
Papai Malkia f1 hybrid ni papai ya mda mfupi miezi sita kwa sehemu zenye joto na miezi nane kwenye sehemu yenye baridi. Mti moja huzaa matunda 40-70 kwa msimu. Kwa wakulima wa kanda ya kaskazini tunasambaza miche, Watu waliopo kanda zingine tunasambaza mbegu. Mche Tsh 5000 inakuwa na cementer 20/30 Mbegu Tsh 30,000 inakuwa na mbegu 60/70   contact: 0752972727 formal.agro@gmail.com

FAIDA ZA ASALI MWILINI

Image
MDALASINI NA ASALI Asali inafahamika vema Duniani kote kama mojawapo ya silaha ya kiajabu katika kupigana na magonjwa na matatizo yatokanayo na uzee. Sasa hivi, utafiti mpya umeonyesha kwamba uwezo wa asali unaweza kuongezwa maradufu kama itachanganywa na mdalasini wa kawaida. Uchunguzi wa kina ufanywao kwa wiki na jarida la World News wa Tiba, wataalamu wa madawa yatokanayo na mimea pamoja na kijarida cha afya na lishe, imeonekana kwamba kuna dazani nyingi za umuhimu wa asali na mdalasini pamoja na michanganyiko {dawa} ya kusisimua iletayo afya bora. Kama ifuatayo: 1. Ugonjwa wa Viungo/Maumivu na Uvimbe  {ARTHRITIS} . Wataalamu wa lishe wanapendekeza kuchukua kwa kutumia mchanganyiko wa sehemu moja ya asali pamoja na sehemu mbli za maji vuguvugu na kijiko kimoja {cha chai} chenye mdalasini - na kuchua sehemu zilizoathirika. Nafuu hupatikana katika muda wa dakika moja. Vinginevyo tengeneza chai-kikombe kimoja chenye maji moto, weka vijiko vy

UFUGAJI WA KUKU KWA UTAALAMU

Image
Mfugaji ili uwape kuku wako lishe bora yenye kuendelea, na ili upate matokeo bora zaidi katika ufugaji wako wa kuku basi yakupasa kuzingatia yafuatayo:- Tumia chakula bora na siyo bora chakula. Tumia chakula bora ambacho hakina madhara kwa kuku wako na hata walaji kwa ujumla. Weka chakula mahali safi na salama kuepuka wadudu waharibifu kama vile panya ili kuzuia maambukizi ya magonjwa kwa kuku. Tumia kanuni ya " least cost combination " yaan tumia chakula cha bei nafuu kinachotoa matokeo bora zaidi ili kupunguza gharama za ufugaji hali ambayo itakufanya upate faida mara dufu. Kwa kufanya hivyo utaweza kuwalisha kuku wako chakula kilicho bora kwa matokeo bora zaidi bila kuyumba kiuchumi wakati wote wa ufugaji wako. KUTUNZA KUMBUKUMBU KATIKA UFUGAJI Kuna usemi usemao " mali bila daftari hupotea bila habari " ukiwa na mradi wowote wa ufugaji ni vema ukiwa unaweka kumbukumbu za kila siku au kwa kila wiki. Katika kutunza kumbukumbu za ufugaji kun