SOMO LA KWANZA : UTENGENEZAJI WA SABUNI ZA AINA ZOTE. MASOMO YATAKAYO FUNDISHWA HAPA NI : 1 1. Utengenezaji Wa Sabuni isiyo na garama. 22. Utengenezaji Wa Sabuni ya urembo. 33. Utengenezaji Wa Sabuni ya asali na cream. 4 4. Utengenezaji Wa Sabuni ya manukato. 5 5. Utengenezaji Wa Sabuni ngumu. 66. Utengenezaji Wa Sabuni ya unga 77. Utengenezaji Wa Sabuni ya kugandisha. 8 8. Utengenezaji Wa Sabuni za dawa. 99. Utengenezaji Wa Sabuni za rangi. 110. Utengenezaji Wa Cream ya kunyolea. 111. Utengenezaji Wa Sabuni iliyotengenezwa na mafuta mengine. VIFAA VYA UTENGENEZAJI SABUNI. *Sufuria. *Bakuli kubwa la mfinyanzi au plastiki. *Mafuta *Maji. *Sodium hydroxide{NaOH} *Ubao mdogo/mw...
UTANGULIZI Mti wa Mlonge una faida nyingi ambazo hazifahamiki kwa watu wengi. Faida za mti huu zinatokana na sehemu mbalimbali za mti huu ambazo ni maua, majani, magome na matunda na zina faida nyingi kwa afya ya binadamu. Maua ya mlonge huzalishwa hata kipindi ambacho hakuna mvua. Mti huu una viinilishe ambavyo huweza kutumika kuboresha afya ya watoto wakati wa njaa. Majani ya mti huu yanastawi hata kipindi cha ukame ambapo ukuaji wa mazao ya chakula ni mdogo. Majani haya yana kiwango kikubwa cha vitamin B na C. Tafiti mbalimbali zilizofanyika zimeonyesha kuwa Mlonge una faida zifuatazo: • Unaongeza kinga ya mwili • Majimaji ya majani hutumika kama dawa ya ngozi • Majimaji ya majani hurekebisha msukumo wa damu • Unapunguza maumivu ya kichwa • Majimaji ya majani yanatumika kurekebisha kiwango cha sukari mwilini hasa kwa watu wenye tatizo la kisukari • Unapunguza uvimbe na maumivu ya viungo • Unaongeza kiwango cha m...
UTAFITI uliofanywa nchini Marekani hivi karibuni unaonesha kuwa katika miaka ya 1950, wastani wa ulaji wa mayai ya kuku ulikuwa mayai 375 kwa mtu mmoja, lakini hadi kufikia mwaka 2007, kiwango hicho kimepungua hadi kufikia mayai 250 tu kwa mtu mmoja, ikiwa ni punguzo la asilimia 33. Sababu moja wapo ya kushuka kwa ulaji wa mayai imeelezwa kuwa, pamoja na sababu zingine, ni imani potofu kwamba mayai husababisha ugonjwa wa moyo na kwa wagonjwa wa moyo hawaruhusiwi kabisa kula mayai kwa madai kwamba yana kiwango kikubwa cha kolestro. Hata hivyo, tafiti kadhaa zilizofanyika kuhusiana na imani hiyo potofu zimeonesha HAKUNA uhusiano wowote kati ya kuongezeka kolestro mwilini na ulaji wa mayai na kwamba mayai HAYASABABISHI ugonjwa wa moyo, iwapo mayai hayo ni halisi. Katika siku za karibuni, tumeshuhudia kuibuka kwa ufugaji wa kuku kwa kiwango cha hali ya juu, ambapo kuku hufugwa kwa kulishwa vyakula na madawa maalum yanayowawezesha kukua ndani ya muda mfupi au kutoa mayai mengi. Ha...
Comments
Post a Comment